Mark 14:21
21 aMwana wa Adamu anaenda zake kama vile alivyoandikiwa. Lakini ole wake mtu yule amsalitiye Mwana wa Adamu! Ingekuwa heri kwake mtu huyo kama hangezaliwa.”Kuanzishwa Kwa Meza Ya Bwana
(Mathayo 26:26-30; Luka 22:14-20; 1 Wakorintho 11:23-25)
Copyright information for
SwhKC